iqna

IQNA

hassan nasrallah
Mrengo wa Muqawam
IQNA- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutoa jibu kwa uchokozi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa kushambulia ubalozi wake mdogo mjini Damascus ni haki yenye uhalali wa kisheria.
Habari ID: 3478656    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Siku ya Quds
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema mhimili wa muqawama una uhakika wa kupata "ushindi mkubwa" katika vita vyake vinavyoendelea dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3478636    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06

Kadhia ya Palestina
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.
Habari ID: 3478629    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/04

Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza utayarifu kamili wa muqawama katika nyanja mbalimbali na kuutaja ushindi wa mwisho wa muqawama na kushindwa adui Mzayuni kkwamba, ni hakika na jambo lisilo la shaka.
Habari ID: 3477936    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Katika kikao na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza nafasi ya Shahidi Jenerali Soleimani katika kuimarisha usalama wa eneo hili mbele ya Uzayuni na ugaidi.
Habari ID: 3477532    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/01

Mapambano dhidi ya Wazayuni
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amewaonya viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwamba mauaji yoyote yatakayofanywa ndani ya ardhi ya Lebanon ya kumlenga raia wa Lebanon, Palestina au Iran au raia wa nchi nyingineyo hayatapita bila ya jibu.
Habari ID: 3477514    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/29

Diplomasia ya Kiislamu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amekutana na kiongozi wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina.
Habari ID: 3477432    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/13

Watetezi wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amewataka vijana wote wa Kiislamu wasisubiri kauli za jumuiya na mashirika bali wachukue hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya mtu aliyeichoma moto Qur'ani.
Habari ID: 3477370    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/02

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema jamii za Kiislamu haiwezi kustahamili kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, akisisitiza kwamba Waislamu wako tayari kikamilifu kuchukua hatua za kuwajibika kuulinda Uislamu na kitabu chao kitakatifu.
Habari ID: 3477352    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/29

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kukata uhusiano wao wa kidiplomasia na Uswidi (Sweden) baada ya kushuhudiwa matukio ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3477327    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/23

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna tena mamlaka ya kiamri ya Marekani duniani na kila kitu kinaelekea kwenye ulimwengu wa kambi kadhaa, na akaongezea kwa kusema: "na hili ndilo linaloitia wasiwasi Israel".
Habari ID: 3477049    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26

Siku ya Kimataifa ya Quds
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameto mwito kwa wapenda haki kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3476832    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema matukio na maendeleo yanayoshuhudiwa hivi sasa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ishara tosha kuwa suala la kuporomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni hakika ambayo itafanyika katika mustakabali wa karibu.
Habari ID: 3476679    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ina nguvu na uthabiti kuliko wakati wowote ule, na kwamba taifa hili litavuka salama mtihani wa sasa kutokana na hekima ya viongozi wake.
Habari ID: 3475867    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Matembezi ya Arbaeen
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa ushiriki wa wafanyaziara wa Kiislamu wapatao milioni 20 katika matembezi ya Arbaeen nchini Iraq mwaka huu ni muujiza.
Habari ID: 3475799    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17

Harakati za Muqawama
TEHRAN (IQNA)- Ujumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS umeonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon mjini Beirut, ukiwa ni ushahidi wa kuzidi kushikamana kambi ya muqawama katika eneo hili.
Habari ID: 3475695    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitizia kwamba harakati hiyo daima imekuwa bega kwa bega na watu wanaodhulumiwa katika eneo la Asia Magharibi wakiwemo wa Yemen, Iraq na Afghanistan.
Habari ID: 3475666    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Uadui wa Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hatua za utawale wa Kizayuni wa Israel katika eneo la machimbo ya gesi ya Karish ni ukiukaji wa mamlaka ya Lebanon na akaonya wazi kuwa hakuna shaka yoyote kuwa Hizbullah inayo uwezo wa kijeshi na kiusalama wa kumzuia adui mzayuni asichimbe mafuta na gesi katika eneo hilo.
Habari ID: 3475357    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/10

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama haitaki vita, lakini pia haigopi vita kwa kuwa ina uhakika wa kuibuka mshindi iwapo vitaibuka.
Habari ID: 3474170    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/08